7. Ni Tabibu Wa Karibu


1. Taji mvikeni,
Taji nyingi tena,
Kondoo mwake kitini,
Bwana wa mabwana;
Name tamsifu
Alikufa kwangu,
Ni mfalme mtukufu,
Mkuu wa Mbingu.

2. Taji mvikeni
Mwana wa bikira;
Anazovaa kichwani
Aliteka nyara;
Shiloh wa wanabii,
Mchunga wa watu,
Shina na tanzu vya Yese,
Wa Bethirehemu.

3. Taji mvikeni
Bwana wa mapenzi;
Jeraha zake ni shani
Ni vito vya enzi,
Mbinguni hakuna
Hata malaika
Awezaye kuziona
Pasipo kushangaa.

Comments

Popular posts from this blog

6. Baba Mwana Roho

2. Twamsifu Mungu

26. Yesu Unipendaye