7. Ni Tabibu Wa Karibu
1. Taji mvikeni,
Taji nyingi tena,
Kondoo mwake kitini,
Bwana wa mabwana;
Name tamsifu
Alikufa kwangu,
Ni mfalme mtukufu,
Mkuu wa Mbingu.
2. Taji mvikeni
Mwana wa bikira;
Anazovaa kichwani
Aliteka nyara;
Shiloh wa wanabii,
Mchunga wa watu,
Shina na tanzu vya Yese,
Wa Bethirehemu.
3. Taji mvikeni
Bwana wa mapenzi;
Jeraha zake ni shani
Ni vito vya enzi,
Mbinguni hakuna
Hata malaika
Awezaye kuziona
Pasipo kushangaa.
Comments
Post a Comment