28. Anipenda Kweli


1. Anipenda ni kweli;
Mungu anena hili;
Sisi wake watoto;
kutulinda si zito.

 Yesu anipenda,
 Yesu anipenda,
 Kweli anipenda,
 Mungu amesema.

2. Kwa kupenda akafa
Niokoke na kufa;
Atazidi taka,
Sana ataniweka.

3. Anipenda kabisa;
Niuguapo sasa
Anitunza Mbinguni
Nniliyelala chini.

4. Kunipenda haachi,
Tu sote hapa chini
Baada ya mashaka
Kwake tanipeleka.

Comments

Popular posts from this blog

2. Twamsifu Mungu

6. Baba Mwana Roho

7. Ni Tabibu Wa Karibu