27. Mungu ni Pendo


1. Mungu ni pendo, apenda watu;
Mungu ni pendo, anipenda

 Sikilizeni furaha yangu,
 Mungu ni pendo, anipenda

2. Nilipotea katika dhambi,
Nikawa mtumwa wa shetani.

3. Akaja Yesu kuniokoa,
Yeye kanipa kuwa huru.

4. Sababu hii namtumikia,
Namsifu yeye siku zote.

Comments

Popular posts from this blog

2. Twamsifu Mungu

6. Baba Mwana Roho

7. Ni Tabibu Wa Karibu