13. Tafuta Daima Utakatifu


1. Tafuta daima utakatifu;
Fanya urafiki na Wakristo tu;
Nena siku zotena Bwana wako,
Baraka uombe kwa kila jambo.

2. Tafuta daima utakatifu;
Uwe peke yako ukimwabudu;
Ukimwangalia mwokozi wako,
Utabadilishwa kama alivyo.

3. Tafuta daima utakatifu;
Kiongozi wako aew Yesu tu;
Katika furaha au huzuni
Dumu kumfuata Yesu Mwokozi.

4. Tafuta daima utakatifu;
Umtawaze Roho moyoni mwako;
Akikuongoza katika haki,
Hufanywa tayari kwa kazi yake.

Comments

Popular posts from this blog

6. Baba Mwana Roho

2. Twamsifu Mungu

26. Yesu Unipendaye